Snura hakuishia hapo alielezea pia kilichoendelea kati yake na Ngassa baada ya Ngassa kuona mitandaoni alimtafuta Snura na hali ilikuwa hivi '' Ngassa alinipiga muda mfupi tu baada ya picha kuanza kusambaa akauliza mbona hizi picha zinasambaa hivi Snura? nikamwambia usinielewe tofauti babaangu kwa sababu mimi mwenyewe sikutaka zitoke, picha nilizopiga nyinginyingi tu wakati tunatengeneza movie ila naona watu wameona hizi ndio nzuri kwa skendo'' Alimaliza kwa kusema hivyo,So mchongo ulikuwa hivi kwa mujibu wa Snura Mushi.
สมัคร wing888 VIP เว็บตรงคุณภาพสูง และบริการคุณภาพ
-
Wing888 vip
เป็นหนึ่งในชื่อที่น่าสนใจโดยเฉพาะสำหรับผู้ที่ให้ความสำคัญกับความปลอดภัย
เสถียรภาพ และระบบการให้บริการที่จริงจัง
ความเป็นส่วนตัวและความซื่อสัตย...
Post a Comment