Baada ya kumalizana kimkataba kati ya M-Rap na record label ya B-Hits chini ya Pancho Latino na Herm B sasa rapper M-Rap amekuwa huru na ngoma yake ya kwanza kusikika kutoka kwake itakwenda kwa jina ''USIENDE MBALI'' nagoma ambayo amemshirikisha mkali wa hit Juma Jux ambapo mkwajuu umefanyika chini ya Studio za AM Rec na mtayarishaji sio Manecky bali ni mdogo wake na Manecky anajulikana kama Bob Manecky ambaye pia ni mkali wa touch kwakuwa amehusika kinoma noma kuandaa ngoma mpya ka mkali Jux inayokwenda kwa jna ''NITASUBIRI'' Hiyo kupitia mitandao na interviews kadhaa anazofanya M-Rap Lion anawasihi wada wa muziki wa kizazi kipya kuwait for this HIT TRACK(USIENDE MBALI) Ft. JUX).
สมัคร wing888 VIP เว็บตรงคุณภาพสูง และบริการคุณภาพ
-
Wing888 vip
เป็นหนึ่งในชื่อที่น่าสนใจโดยเฉพาะสำหรับผู้ที่ให้ความสำคัญกับความปลอดภัย
เสถียรภาพ และระบบการให้บริการที่จริงจัง
ความเป็นส่วนตัวและความซื่อสัตย...
Post a Comment