Mwanzo » » QUICK ROCKER AWAOMBA RADHI MASHABIKI WAKE KUHUSU NGOMA YAKE NA A.Y

QUICK ROCKER AWAOMBA RADHI MASHABIKI WAKE KUHUSU NGOMA YAKE NA A.Y

Imewekwa ma Unknown siku Saturday 30 November 2013 | 20:21


QUICK ROCKA
Quick Rocka amewaomba radhi mashabiki wake kwa kushindwa kuachia wimbo wake mpya 'Masai' aliomshirikisha A.Y baada ya computer ya studio ku 'Crash' na wimbo huo uliokuwa umekamilika kupotea.

'I apologise to my dear fans.Hii ilikuwa ni nje ya uwezo wangu.But as soon as tukimaliza kufanya upya vocals Maasai will be banging your speakers na utaruka kama mori imepanda.Switcher na A.Y ni collabo ya moto sana,haijawahi kutokea'Alisema Quick.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa