Mwanzo » » DJ. CLEO AFANYA ANACHOKIPENDA ZAIDI NA SASA NI MSAKATA KABUMBU.

DJ. CLEO AFANYA ANACHOKIPENDA ZAIDI NA SASA NI MSAKATA KABUMBU.

Imewekwa ma Unknown siku Thursday 27 February 2014 | 10:31

Dj Cleo
Dj na msanii wa muziki wa kawito pia mtayarishaji toka Afrika ya Kusini Cleopas Monyepao alimaarufu kama Dj Cleo ambaye amewahi kuhit na ngoma iliyojulikana kama Facebook katika miondoko ya kwaito na track kadhaa tofauti katikka miondoko hiyo hiyo ameamua kuingia katika usakkataji wa kabubumbu.



Akizungumza kupitia mahojiano na kituo cha matangazo kilichoko nchini Afrika ya Kusini Pwer Fm Dj Cleo amesema kuwa mpira wa miguu ni jambo ambalo amekuwa akilihusudu sana hata zaidi ya muziki kama Dj na kuimba na ndio iliyokuwa ndoto yake ya kwanza,Dj Cleo sasa ameamua kuingia rasmi katika kusakata kabumbu na amejiunga na kuanza mazoezi na team Bidvest United Fc ya Afrika Kusini na atakuwa akaicheza nafasi ya Goalkeeper.


''My love for soccer started at that time, i went into the music professional where the support i have been getting wonderful '' alisema katika mahojiano.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa