Mwanzo » » HUU NI UPAND WA PILI WA MAISHA YA MAPENZI WA NASH MC.

HUU NI UPAND WA PILI WA MAISHA YA MAPENZI WA NASH MC.

Imewekwa ma Unknown siku Saturday 5 April 2014 | 12:03

Unaweza kuichukulia kivyovyote lakini maandishi ya member wa Tamaduni Music, Nash MC yameeleza wazi kuwa anamzimia mrembo  na mwimbaji wa kundi la Shosteez, Meninah la Diva. 

Comment ya Nash MC aliyoiweka kwenye post ya Jabir Saleh a.k.a Kuvichaka aliyokuwa ameweka kwenye ukurasa wa  Facebook akiwa na Dayna Nyange ambaye atakuwa mkali wa The Jump Off kuanzia wiki ijayo, ilikuwa na ujumbe wa wazi kwa mtangazaji huyo. 

 “Siku ukimhoji menina nistue maana mamzimia kweli.” Aliandika Nash MC. 

Hata hivyo, ujumbe huo haukuishia kwa Kuvichaka na akaupeleka kwa watu wengine ambao wanaweza kukutana na Meninah au wale ambao walidhani ametereza tu kuandika kwa uwazi. 

“Hilo lipo wazi na mkimuona mwambieni.” Alisisitiza Nash MC. 

Rapper huyo wa Naandika alijitoa kwenye lawama binafsi na kuchombeza kiutani kuwa kilichomsukuma na upendo. “Sio mm ni sababu ya mapendooooooo!”
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa