Mwanzo » » HIVI NDIVYO WEMA ALIVYORUDI KATIKA MITANDAO YA KIJAMII KWA MARA YA KWANZA

HIVI NDIVYO WEMA ALIVYORUDI KATIKA MITANDAO YA KIJAMII KWA MARA YA KWANZA

Imewekwa ma Unknown siku Sunday 17 November 2013 | 10:29


WEMA SEPETU

HII NDIO PICHA ALIYOPOST KWA MARA YA KWANZA TANGU KUTOKEA KWA MSIBA

Msanii wa bongo movie ambaye inasemekana kuwa ni msanii kwa kwanza bongo movie kushika vichwa vya habari kwa muda mrefu kila kukicha Wema Abraham Sepetu 'Wema Sepetu' kwa mara ya kwanza tangu kupatwa na msiba wa kumpoteza baba yake mzazi hivi karibuni ameonekana katika mitandao ya kijamii akizungumza na mashabiki kwa kuwasihi wapunguze jazba kwa kinachendelea mitandaoni kuhsu yeye na waache kutumia lugha za matusi wao kama '#TeamWemaSepetu' na amepostu akionesha bado uwepo wa upendo wa marehemu kipenzi baba yake mzazi.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa