Mwanzo » » B' HITS YAZUNGUMZIA KUHUSU NYIMBA ZILIZOBAKI ZA AKINA GOSBY NA VANNESSA ZILIZOBAKI STUDIO

B' HITS YAZUNGUMZIA KUHUSU NYIMBA ZILIZOBAKI ZA AKINA GOSBY NA VANNESSA ZILIZOBAKI STUDIO

Imewekwa ma Unknown siku Monday 2 December 2013 | 15:47

GOSBY

VANESSA MDEE
Siku kadhaa tu baada ya B hits kusema haitotoa msamaha kwa wasanii wake ambao ni Vanessa Mdee, Gosby na Mabeste kutokana kufanya mambo nje ya mkataba pamoja na utovu wa nidhamu, kampuni hii iliyohusika kutoka hits kadhaa za bongofleva imetoa tamko kuhusu nyimbo za Gosby na Vanessa ambazo zimeachwa kwenye studio hiyo waliyokua wakifanya kazi.
Amani ambae ni msemaji wa B Hits anasema ‘hizo nyimbo ziko hapa, Gosby ndio ana nyimbo nyingi kuliko Vanessa na hatuko tayari kuwapa..  pia kuna swali kubwa ambalo watu wengi wanauliza kwa nini B Hits haikai na Wasanii na kila mara inakorofisha… sababu kubwa ya Wasanii wengi kuondoka B Hits ni hii mikataba tuliyoitengeneza’
Studio ya B hits mpaka sasa imeshatengeneza hit single kama ‘Closer’ ya Vanessa Mdee, ‘habari ndio hiyo’ ya FA & Ay pia ‘nangoja ageuke’ na single nyingine kadhaa.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa