Mwanzo » » DULLY SYKES: SIANDIKI TENA NGOMA ZENYE UJUMBE.

DULLY SYKES: SIANDIKI TENA NGOMA ZENYE UJUMBE.

Imewekwa ma Unknown siku Thursday 27 February 2014 | 19:32

Dully Sykes

Msanii Young Killer katika moja ya uandishi wake amewahi kuandika na kusema kuwa ''sio ngoma nyingi,bila ujumbe kama Dully wa misifa'' hilo limeonekana kuwa kweli kwakuwa karibuni Duly Sykes kupitia kipindi cha The Jump Off cha Times Fm alisema kuwa kwasasa haoni sababu za kuumiza kicha kuandika nyimbo zenya ujumbe wakati soko la muziki wasasa wanapenda sana kuparty na kila bata tu.

Kutokana na watu wasasa kupenda kula bata na kuparty hivyo Dully a,esema kwakuwa muziki ni biashara sasa wanaosubiri yeye aje na wimbo wenye ujumbe watasubiri sana kwakuwa kama ni nyimbo zenye ujumbe ameshafanya zikiwemo ''Leah'', ''Baby Candy'' na akawa anigiza pesa yakawaida tofauti na sasa ambapo anaigiza mkwanja mkubwa kuliko kipindi cha nyimbo za jumbe.

Mtu wmingine anawezz akasema kuwa Dully zamani ulikuwa unatoa nyimbo nzur, nyimbo za kueleimisha, sasa utampa elimu nani? watoto wote wameharibikahawa, hawataki elimu, wa wanataka kwenda disko na kucheza tu . ili wakuelewe , basi na mimi nawapa elimu ya kucheza na kuenjoy katika clubs na kula bata'' Alisema Dully.

Hii ni sawa kibiashara lakini kama mtu utafata misingi ya sanaa utakuta kuburudisha haitoshi tu kwa mwasanaa lakini kwakuwa kwasasa muziki ni biashara kila mmoja atafanya kulingana na uwezo wake .
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa