Mwanzo » » HISIA KUACHIA NGOMA SIKU YA VALENTINE(SIKU YA WAPENDANANO)

HISIA KUACHIA NGOMA SIKU YA VALENTINE(SIKU YA WAPENDANANO)

Imewekwa ma Unknown siku Sunday 9 February 2014 | 10:16

HISIA

Baada ya ''JUST FOR YOU'' aliyoiachia Msanii Hisia baada ya kutoka tu katika mashindano ya kipaji cha kuimba yanayofanyika nchini Kenya mwaka jana yanayojulikana kama Tusker Project Fame sasa apanga kuachia ngomanyingine ambayo inatazamiwa kuwa ngoma kali ambayo pia imeandaliwa nchini Kenya na ngoma hiyo iakwenda kwa jina ''MAWAZO'' iliyofanyika MG Studio huko nchini Kenya na kwa mujibu wa hisia ni kwamba ngoma hiyo imeandaliwa kwa vyombo vya kupigwa live na ni ngoma iliyochukua takribani ya muda wa majuna/week tatu mpaka kuikamilisha.

Mawazo ni ngoma ambayo inazungumzia maisha ya kweli ya kimapenzi yanayomhusu Hisia mwenyew na ameamuza kuachia ngoma hiyo siku ya wapendanano kuwa kuwa imeonekana ni idea ya mapenzi na kwa kuwa ni siku ya wapendanao hivyo ni poa kwa wewe kuisubiri.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa