Mwanzo » » MH. TEMBA NA CHEGGE CHIGUNDA KUDONDOKA TENA NDANI YA KOLLABO KUBWA MWAKA WA 2014.

MH. TEMBA NA CHEGGE CHIGUNDA KUDONDOKA TENA NDANI YA KOLLABO KUBWA MWAKA WA 2014.

Imewekwa ma Unknown siku Wednesday 19 February 2014 | 22:18

Temba                      na                Chegge
Huyu kutoka Kigoma na hapa namzungumzia Chegge Chigunda a.k.a Mtoto wa Mama Said na mwingine Kutoka uchaggani kuleeeeeeee Moshi na si mwingine ni mcheza kikapu na msanii wa Bongo fleva na hapa anazungumziwa Mh. Temba ambapo kwa pamoja hawa ni wakali waliozoeleka kuachia mikono ya pamoja na ikasifika kwa kufanya vizuri katika top 10 na Top 20 za hapa ukanda wa Afrika Mashariki.

Kwa mwaka huu wa 2014 wamejipnga tena kuachia mkwaju mwingine wa pamoja ukiwa ni chini ya utayarishaji wa studio za mkubwa na wanae Rec zinazomilikiwa na Mkubwa Fella mwenyewe na mtayarishaji atakayefanya mchakato huo wa kukamilisha mkwaju huo ni Procuder Shirico na mkwaju utakwenda kwa jina ''WAUWE'' na Wawili hawa kama inavyofahamika wanapokaa pamoja katika ngoma basi huwa hakiharibiki kitu.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa