Mwanzo » » BASATA:NEY WA MITEGO ACHA KUVAA MILEGEZO MAJUKWAANI

BASATA:NEY WA MITEGO ACHA KUVAA MILEGEZO MAJUKWAANI

Imewekwa ma Unknown siku Sunday 27 October 2013 | 18:57

NEY WA MITEGO


Rapper maarufu katika muziki wa kizazi na hit maker wa ngoma kadhaa zikiwe muziki gani aliyoshirianai na mkali Diamond Platnumz na ile iliyozua gumzo mpaka kupata vitisho vya kuuwawa NEY WA MITEGO amepewa ovyo kali na simu iliyojitambulisha kuwa ni simu kutoka baraza la sanaa Tanzania ambapo NEY alikuwa amelala na alipoa amka alikuwa missed calls kadhaa za namba mpya na kukuta number ile ilimbidi kupiga ili kujua ni nani na alipozungumza na mpokeaji mpokeaji alijitambulisha kuwa yeye ni kutoka BASATA na kudai kuwa kuna barua yake hivyo aende aichukue.

Kilichofuata ni kuwa NEY alipuuza ujumbe ule maana alihisi ni uzinguaji tu wa mashabiki na baada ya muda alipelekewa babua ile anakoishi MANZESE jijini DAR ES SALAAM na NEY amakiri kupokea barua ya kupewa ovyo na BASATA lakini alishangaa maana BASATA ina mambo mengi ya maana katika sanaa ya kutazama na kuyashughulikia kikamilifi na kubwa zaidi ni wizi wa kazi za wasanii jambo ambalo linadidimiza  wasanii zaidi kuliko kitu chocho na wao wanaangazia milegezo na istoshe kuhusu mimi kuvaa vile sio mimi pekee ni wasanii wengi wanao vaa hivyo tena hata zaidi ya mimi.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa