Mwanzo » » DIAMOND PLATNUMZ NA DAVIDO MY NUMBER ONE REMIX ITAWAHUSU

DIAMOND PLATNUMZ NA DAVIDO MY NUMBER ONE REMIX ITAWAHUSU

Imewekwa ma Unknown siku Sunday 27 October 2013 | 19:21

DIAMOND NA DAVIDO KATIKA MKAKATI WA MY NUMBER ONE REMIX STUDIO

Msanii anayeongoza kwa skendo za kuwa katika mahusiano ya mastar kibao wa kike Nasib Abdul 'DIAMOND PLATUMZ' kuja na remix ya ngoma yake latest inayondelea kufanya vizuri katika game la muziki wa kizazi kipya yaani BONGO FLEVA kwani mpaka sasa DAVIMDO na DIAMOND wako studio kukamilisha mzigo huo ambao tunaitazamia kumpeleka DIAMOND na muziki wa Tanzania mbali zaidi katika uwakilishai kimuziki.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa