Mwanzo » » UMAARUFU NA TATOO VINAENDANA...TAZAMA TATOO MPAYA YA DIAMOND PLATNUMZ

UMAARUFU NA TATOO VINAENDANA...TAZAMA TATOO MPAYA YA DIAMOND PLATNUMZ

Imewekwa ma Unknown siku Saturday 19 October 2013 | 12:39

AKIWA NA KATIKATI YA WADADA UNAWEZA KUONA TATOO YAKE MPYA MKONO WAKE WA KULIS

UNAWEZA KUONA TATOO KATIKA MKONO WAKE WA KULIA


Hit Maker wa ngoma kibao zimachukua hiastoria ya kufanya vizuri zaidi katika anga ya burudani Nasib Abdul alimaarufu kama DIAMOND PLATNUMZ sasa ameamua kujiwekea tatoo katika mwili wake jambo ambalo ni wazi kuwa ni moja ya urembo katika mwili tu kwa sasa inaaminika kuwa mtu unapokuwa maarufu vitu kama hivyo unaweza kuvipenda automatic na kingine ni kuwa idadi ya wasanii wengi maarufu duniani kote wamekuwa wakijipamba kwa tatoo na miongoni mwa wasanii duniani ambao wakijitokeza leo hapa kama wako kifua wazi unaweza kudhani wamevaa ni LIL WAYNE na sasa swali kwa wadau wa muziki tunajiuliza ni kuwa kuna uwezekano DIAMOND PLATNUMZ atajiongezea tatoo zaidi??.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa