Mwanzo » » ANGEKUWEPO LEO NGEKUWA ANASHEREHEKEA KUTIMIZA MIAKA KADHAA,R.I.P ALBERT MANGEar

ANGEKUWEPO LEO NGEKUWA ANASHEREHEKEA KUTIMIZA MIAKA KADHAA,R.I.P ALBERT MANGEar

Imewekwa ma Unknown siku Saturday 16 November 2013 | 15:11

ALBERT MANGWEAR(R.I.P)

Msanii wa muziki wa kizazi kipya rapper Albert Mangwear(R.I.P) kama ngekuwepo siku ya leo angetimiza umri wa miaka kadhaa na pengine angekuwa namesha fanya vitu vingine zaidi kwa maana alikuwa ni mchango mkubwa katika muziki wa Tazania lakini siku kadhaa zilizo pita watanzania na wengine walioweza kufika toka sehemu tofauti za nchi nyinginne nje ya Tanzania alishiriki kumuaga msanii huyu Albert Mangwear so badala ya kusema HAPPY BIRTHDAY  kwake badala yake tunaishia kusema R.I.P ALBERT MANGWEAR kwani kaishatutangulia.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa