Mwanzo » » BREAKING NEWS: PAPII KOCHA NA BABA YAKE BABU SEYA WATAENDELEA KUTUMIKIA KIFUNGO CHA MAISHA

BREAKING NEWS: PAPII KOCHA NA BABA YAKE BABU SEYA WATAENDELEA KUTUMIKIA KIFUNGO CHA MAISHA

Imewekwa ma Unknown siku Thursday 21 November 2013 | 13:09

PAPII KOCHA NA BABA YAKE BABU SEYA
Mahakama ya fufaa kanda ya Dar es salaam imetupilia mbali ombi la rufaa la wastakiwa Papii Kocha na Baba yake Babu Seya na kukaza hukumu kuwa ya kifungo cha maisha ambapo wamekuwa rufaa mara kwa mara lakini kila walipokuwa wakifanya hivyo rufaa zao zimekuwa zikigonga wamba na hii ndio rufaa ya mwisho kusikiliza ambapo upande wa utetezi umeshindwa na hukumu kutoka ambapo baada ya hukumu hiyo Papii Kocha na Babu Seya watendelea kutumikia kifungo cha maisha.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa