Mwanzo » » GHARAMA ZA VIDEO NA UBORA WAIPELEKA VIDEO YA MY NUMBER ONE KIMATAIFA

GHARAMA ZA VIDEO NA UBORA WAIPELEKA VIDEO YA MY NUMBER ONE KIMATAIFA

Imewekwa ma Unknown siku Friday 22 November 2013 | 03:02

DIAMOND PLATNUMZ

Hiyo ni baada ya taarifa za kuwa video ya Diamond Platnumz kuwa video ya kwanza Afrika Mashariki kukamilika kwa kiasi kikubwa cha pesa ambapo kisi cha fedha zaidi ya millioni 45 za kitanzania zilitumika mpaka kukamilisha video hiyo.

Diamond akiwa katika mchakato wa kukamilisha video ya my numbey one remix aliyofanya na mkali toka Nigeria sasa imeanza kupata air play katika vituo vya kimataifa na katika picha ni picha alizozipost msanii Diamond Platnumz za tv wakati vimbo wake ukichezwa.





DIAMOND KUPITIA FACEBOOK ACCOUNT YAKE ALIPOST
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa