Mwanzo » » HARD MAD: MIMI SIJAJIBU ''YAHAYA'' BALI NI KULETA CHANGAMOTO TU KATIKA GAME LA BONGO

HARD MAD: MIMI SIJAJIBU ''YAHAYA'' BALI NI KULETA CHANGAMOTO TU KATIKA GAME LA BONGO

Imewekwa ma Unknown siku Monday 18 November 2013 | 21:01

HARD MAD ''KIDUME MKUSHI''

Msanii wa muziki wa kizazi kipya anyepatikana mkoa wa Mwanza ambaye ni hit maker wa mikwaju kadhaa iliwemo 'TUNDA' ameyasema hayo alipokuwa akiongea na mwanhabari toka TIMES FM na alichokijibu baada ya kuulizwa ni kwnaini aliamua kumjibu LADY JAY DEE wimbo wake wa YAHAYA na yeye kuja na ngoma yake inayokwenda kwa jina la 'NAISHI GETO' wimbo ambao katika chorus ameandika uandishi tofauti lakini melody ikiwa imemuata ile ya YAHAYA pia katika verses akiwa kafanya uhandishi wa aina ya rap na ikiwa idea ni kujivunia geto na maisha yanakuaga hivyo kwako kisanaa.


Hard Mad alisema yeye kufanya hivyo sio kumjibu mwanadada LADY JAY DEE bali kufanya kwake vile ni kuleta changamoto na kulichangamsha game la bongo kwasasababu limelala kwa kiasi flani na yeye ni msanii so changamoto sio vita bali ni kufanya burudani izidi kupatikana kama muendelezo wa muziki unaozidi kufanya vizuri katika game.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa