Mwanzo » » IZZO BISNESS WEZI WAMUIBIA KATIKA OFFICE YAKE,WAIACHA TUPU.

IZZO BISNESS WEZI WAMUIBIA KATIKA OFFICE YAKE,WAIACHA TUPU.

Imewekwa ma Unknown siku Saturday 23 November 2013 | 10:32

IZZO BIZNESS
Rapper Izzo Bizness asubuhi ya kuamkia leo amepokea taafi mbaya za kuwa office y ako iliyoko jijini mbeya iliyoko meneo ya chuo cha TEKU na wezi waliovunja na kufanya wizi huo wamemuibia computer sita na baadha ya vifaa vya kazi ambavyo walikuwa rahisi kubebeka ha office kuiacha ikiwa katika hali unayoweza kuiona katika picha.
HIVI BDIVYO OFFICE YA IZZO ILIVYOACHWA.

POLE SANA KWA IZZO KWA TUKIO HILO LA KUSIKITISHA.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa