Mwanzo » » MAAJABU :SAMAKI MTU(NGUVA) AONEKANA NCHINI ISRAEL KANDO MWA BAHARI.

MAAJABU :SAMAKI MTU(NGUVA) AONEKANA NCHINI ISRAEL KANDO MWA BAHARI.

Imewekwa ma Unknown siku Saturday 22 February 2014 | 18:51

KWA MBALI NGUVA ANAONEKANA JUU YA MIAMBA
Maajabu yaliyowamimina watalii nchini Israel kusuhudi taarifa za kuwa katika fukwe moja wapo ya bahari nchini humo ameonekana samaki mtu(Nguva) akiogelea kando kando mwa bahari na baadhi ya watu walifika na kuchukua video ni kwamba walibahatika kuona nguva akiwa juu ya miaba iliyoinuka na kutokeza juu ya maji na kipindi wakiwa katika hali ya mshangao samaki mtu huyo alijongea kwa haraka kurudi majini.

TAZAMA VIDEO HII KUONA






VIDEO NYINGINE HII HAPA...

Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa