Mwanzo » » MSANII BERRY WHITE ACHOMA GAR LA MPENZI WAKE KISA WIVU WA MAPENZI

MSANII BERRY WHITE ACHOMA GAR LA MPENZI WAKE KISA WIVU WA MAPENZI

Imewekwa ma Unknown siku Tuesday 19 November 2013 | 23:52

BERRY WHITE

MUONEKANO WA GARI LILILOUNGUZWA



Msanii wa muziki wa kizazi kipya anayeiwakiliza Zanzibar ambaye amewahi kuwa mmoja wa member wa kundi lililovunjika miaka kadhaa ambapo yeye na Berry Black walikuwa wakikamilisha kundi lililokuwa likijulikana kama TWO BERRY alifanya tukio hilo la kuchoma gari baaya ya kupata hisia za binti ambaye wako katika mahusiano na yeye kuwa kalamba asali na mtu mwingi na kuchukua maamuzi ya kuchoma gari lake.

Kwa taarifa zaidi kuhusu nini kitaendelea kuhusiana na tukio hili tutakujuza kwa maana tukio hilo sio la kawaida na kama sio gari basi hata angeweza kumzuru binti yule na kishria ni kosa hivyo tunatazamia jambo lolote kisheria kuchukua mkondo.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa