Mwanzo » » PETER MSECHU NA NEY WA MITEGO WAINGIA BIFU KALI NAKULA UJANA YADISSIWA,NEY AJIBU SHAMBULIZI.

PETER MSECHU NA NEY WA MITEGO WAINGIA BIFU KALI NAKULA UJANA YADISSIWA,NEY AJIBU SHAMBULIZI.

Imewekwa ma Unknown siku Thursday 21 November 2013 | 12:45

PETER MSECHU
NEY WA MITEGO

Msanii aliyepata jina  kwa kuwachana wasanii katika nyimbo zake bila kuwaogopa Ney Wa Mitego amejikuta katika bifu na msanii aliyewahi kuiwakilisha Tazania katika mashindani ya vipaji vya kuimba huko nchini Kenya katika ''PROJECT FAME'' PETER MSECHU ameanzisha bifu kali na Rapper baada ya kudiss mimbo mpya wa Ney na kusema kupitia kursa wake wa instagram kuwa Ney kasanda na kinachofuata Ney ataimba mduara na pia kama Ney ataimba Dance aje kuwa Dancer wa Msechu katika Band ya MSECHU BAND.
HIKI NDICHO ALICHOKIANDIKA MSECHU KILICHO ASHILIA BIFU YEYE NA NEY
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa