Mwanzo » » RAIS NELSON MANDELA HOI HAWEZI KUZUNGUMZA HALI SIO NZURI.

RAIS NELSON MANDELA HOI HAWEZI KUZUNGUMZA HALI SIO NZURI.

Imewekwa ma Unknown siku Monday 18 November 2013 | 22:17

NELSON MANDELA

Rais wa kwanza wa Afrika Kusini Nelson Mandela mwenye umri wa miaka 95 kwasasa ameendelea kusumbuliwa na maradhi ambapo tangu awali kipindi cha hivi karibuni alicho lazwa miezi mitatu mfululizo aliuguza maradhi ya mapafu mjini Pretolia ya Afrika Kusini,Taaria kutoka kwa aliyekuwa mke wake wa zamani Bi. Winnie Madikizela Mandela asema kuwa Rais wa zamani Nelson Mandela anaumwa sana na anawasiliana na watu kupitia teknologia ya video na aliongeza kusema kuwa taarifa za watu wanaodai kuwa anapumua kwa kutumia vifaa maalum sio za kweli na hali yake imekuwa ya kubadilika hivyo wanajawa na wasi wasi.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa