Mwanzo » » SAJNA HIT MAKER WA I''VETA'' AMWAGWA NA TETEMESHA REC ''KIMUZIKI''

SAJNA HIT MAKER WA I''VETA'' AMWAGWA NA TETEMESHA REC ''KIMUZIKI''

Imewekwa ma Unknown siku Saturday 23 November 2013 | 16:41

SAJNA
Msanii wa muzkiki wa kizazi kipya Faraj Twaha alimaarufu kama Sajna ambaye amewahi hit na ngoma kadhaa ikiwa ni pamoja na 'Iveta','Mganga',Staki kuumizwa','Mwanangu' na nyinginezo nyini kiasi cha kumuingizia pesa akiwachini ya usimamizi wa recording music label ya TETEMESHA iliyokuwa na makazi yake jijini la baadae kuhamishiwa jiji Dar es Salaam imeamua kumuondoa msanii Sajna chini ya usimamizi wake kutokana na sababu ambazo hazikuwekwa wazi kwa madai ya kuwa ni sababu binafsi sana kati yake Sajna na mmiliki wa label hiyo ya TETEMESHA Sandu Geore 'KID BWOY'.

Akijibu maswali ya walio na kiu ya kutaka kujua ni  nini kimesababisha kuondolewa kwake chini ya label hiyo Sajna pia naye alidai ni mambo binafsi lakini kuwa nje ya TETEMESHA REC haimaanish hawezi kufika pale kusema kuwa KID BWOY ni kka yake kwa maana kuwa amemsaidia muda mrefu kiasi cha yeye mpaka kujulikana katika ame na pia akongeza kusema kuwa kama akihitaji kufanya kazi TETEMESHA anaweza kufanya na mambo mengine kikazi ikiwemo ushuri pia anaweza kuupata kutoka pale.

Akijibu swali la kuwa kwasasa yuko chini ya label yoyote alisema kuwa kwasasa anajisimamia mwenyewe na pia ndani ya ushirikiano wake na familia yake anaamini mambo yataenda sawa.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa