Mwanzo » » BELLE 9 AVUSHA BORDER MUZIKI WAKE.

BELLE 9 AVUSHA BORDER MUZIKI WAKE.

Imewekwa ma Unknown siku Friday 20 December 2013 | 07:26

Belle 9 amewel wazi kuwa kuwa katika muziki wa kizazi kipya wa bongo umekuwa na changamoto hivyo katika kuhakikisha anboost muziki wake imempelekea kuunganisha muziki wa Kenya na Tanzania kwa kufanya kollabo na Wayre chini ya Homeboyz Production na mtayarishaji Sappy hivyo wadau wa muziki wa Bongo kaeni tayari kupokea mzigo toka kwa Belle 9 ft Wayre unaotazamiwa kutoka mwakani 2014.

Published with Blogger-droid v2.0.10
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa