Mwanzo » » MUIGIZAJI PAUL WILLIAM WALKER AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI.

MUIGIZAJI PAUL WILLIAM WALKER AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI.

Imewekwa ma Unknown siku Sunday 1 December 2013 | 10:52

PAUL WILLIAM WALKER 1973-2013

GARI LILIHARIBIKA VIBAYA KAMA UNAVYOWEZA KULIONA KATIKA PICHA


MSEMAJI WA PAUL WALKER ALITOA TAARIFA ZA KIFO CHA PAUL WALKER KUPITIA UKURASA WA FACEBOOK WA PAUL WALKER
Ni mzaliwa wa tarehe 12 mwezi September 1973 na umauti umemkuta tarehe 30 Mwezi wa November mwaka 2013 kwa ajli ya gari la rafiki yake wakielekea katika tukio la utoaji msaada kaskazini mwa Los Ageles ambapo gari hilo lilipata ajali na vyombo vya isalama vilipofika eneo la tukio ni miili miwili tu iliyokuwa katika gari wakiwa tayari wamefaiki dunia.

Muigizaji huyu alianza kujulikana mwanzoni wa mwaka wa 1999 kupitia movie iliyofanya vizuri iliyojulikana kama ''Varsity Blues'' na baadae kujuikaa zaidi na zaidi katika movie aliyocheza kama main character(Staring) katika movie ya ''The Fast and the Furious'' na nyinginezo nyingi kama Eight BelowInto the BlueShe's All That, and Takers kwa wale wafatiliaji wa movie mtakuwa mnazifahamu hizi movie kama kazi aliyokwisha ifanya Paul Walker mpaka muti yanamfika.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa