Mwanzo » » MUIGIZAJI JOHARI ANAUMWA SANA NA AMELAZWA

MUIGIZAJI JOHARI ANAUMWA SANA NA AMELAZWA

Imewekwa ma Unknown siku Thursday 23 January 2014 | 16:14

BRANDINA CHAGULA-JOHARI
Muigizaji Brandina Chagula maarufu kama Johari taarifa zinasema kuwa anaumwa na mpaka sasa kupitia taarifa alizozitoa muigizaji mwenzake Deugratius Shija amesema kuwa ni kweli Johari anaumwa na yeye na ndugu wa karibu wa Johari wamekataa kuweka wazi ni hospitali gani Johari amelazwa kuepuka usumbufu wa waandishi wa habari na mashabiki wa kazi za johari kufika hospitali.

Hivyo basi watanzania tunaihitaji kumuobea Johari ili apona...mapema.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa