Mwanzo » » LINAH SANGA AKANUSHA FUNUNU ZA YEYE KUWA MJAMZITO.

LINAH SANGA AKANUSHA FUNUNU ZA YEYE KUWA MJAMZITO.

Imewekwa ma Unknown siku Monday 10 February 2014 | 12:55

LINAH SANGA

Msanii wa kike anayeiwakilisha vizuri Tanzania pindi anapopata Shows nje ya nchi kwa jina Linah Sanga alimaarufu kama LINAH amekanusha uwepo wa funuza yeye kuwa mjamzito kwa kuwa sikuza hizi karibuni zilizagaa taarifa za namna hiyo.

Akizungumza na mtandao wa BONGO 5 Linah amekanusha kabisa na kusema kuwa hizo ni fununu na kuongeza kwa kusema kuwa yeye kama mtoto wa kike kuwa na familia ni muhimu na kwa sasa hajapanga kufika katika hatua hiyo mapema.

Akizungumzia upande wa muziki wake Linah amewahaidi mashabiki kuwa kwa mwaka huu amejipanga na hayuko tayari kuwaangusha kwa chochote kwani zipokazi ambazo ameziandaa kwa ajili yao hivyo wakae mkao wa kula kwakuwa muda wowote kuazia sasa ataachia kazi moto.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa