Mwanzo » » MSIBA: MSANII LADY JAY DEE AFIWA NA DADA LAYAKE.

MSIBA: MSANII LADY JAY DEE AFIWA NA DADA LAYAKE.

Imewekwa ma Unknown siku Tuesday 25 February 2014 | 17:40

clickbongo.blogspot.com
LADY JAYDEE
Msanii nguli wa kike wa muziki wa kizazi kipya Judith Wambura alimaarufu kama Lady JayDee amepatwa na msiba siku ya juzi wa kufiwa na Dada yake Lucy na mpaka sasa msiba uko nyumbani kwake na mwili wa marehemu utasafirishwa siku ya kesho kama mambo yatenda kama yalivyo pangwa kwenda mkoa wa Mara nyumbani kwao na Lady JayDee kwa mazishi.

PROFESSA JAY AKIWA MSIBANI


Pole kwa mwadada Lady JayDee na familia nzima kwa ujumla kwa pigo la msiba,Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi..AMEN.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa