Mwanzo » » ITAZAME VIDEO AMBAYO INAMUONESHA RAIS MSEVENI AKITIA SAINI KUHUSU MAPENZI YA JINSIA MOJA.

ITAZAME VIDEO AMBAYO INAMUONESHA RAIS MSEVENI AKITIA SAINI KUHUSU MAPENZI YA JINSIA MOJA.

Imewekwa ma Unknown siku Tuesday 25 February 2014 | 18:47


RAIS MSEVEN AKITIA SAINI.

Nikatika Hafla iliyofanyika nyumbani kwa Rais Mseven ambapo alitumia nafasi hiyo pia kutia saini mswaada kuwa sheria na sheria hiyo inamtia hatiani mtuhumiwa kushiriki mapenzi ya jinsia moja na kama atabainika kuwa na kosa basi atahukumiwa kifungo cha  miaka 14 na kifungo cha maisha kwa atakaye bainika tena kwa mara nyingi kutenda kosa la namna hiyo bila kujali kama washiriki wa mapenzi ya namna hiyo kukubaliana.

Pia watakao husisha watu wenye ulemavu na matatizo ya akili pia sheria itawahukumu vile vile.

Chanzo BBC Swahili.


Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa