Mwanzo » » PRODUCER C9 KUFUNGUA SHULE YA MUZIKI.

PRODUCER C9 KUFUNGUA SHULE YA MUZIKI.

Imewekwa ma Unknown siku Saturday 22 February 2014 | 21:06

MTAYARISHAJI C9
Mtayarishaji ambaye Charles Francis a.k.a C9 ambaye kuanza kwake muziki ameanza mnamo mwaka 2004 lakini ameonekana kufanya miaka ya 2012 ameweka wazi kuwa hivi katika moja ya ndoto zake katika muziki ni kuleta mabadiliko makubwa kwa asilimia kadhaa amefanikisha lakini kuna mengi zaidi ambayo ameyapanga na miongoni mwa yaliyo katika mipango ni kufungua shule ya muziki.

Mipango ya Myatarishaji C9 ni kufungua shule ya muziki ambayo itafundisha muziki kuanzia kuimba na kutayarisha ambapo amesema kuwa wanafunzi wataweza kufanya masomo kwa vitendo kama kuproduce ikiwa hilo wataweza kulifanya studio kwakuwa C9 anamiliki studio za C9 ambazo chini ya umiliki wake.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa