Mwanzo » » TANZANIA YAPATA UMAARUFU WA MADAWA YA KULEVYA NCHINI UFARANSA..

TANZANIA YAPATA UMAARUFU WA MADAWA YA KULEVYA NCHINI UFARANSA..

Imewekwa ma Unknown siku Saturday 22 February 2014 | 20:02


Tanzania imezidi kupata umaaurufu kutokanana matukio kadhaa ya watu wakawaida na watu maarufu kutoka Tanzania kukamatwa katika nchi tofauti kwa kujihususha na madawa ya kulevya jambo lililopelekea wanahabari kutenfeneza makala kuhusu madawa ya kulevya na maeneo baadhi ya jiji la Dar es Salaam na maeneo baadhi ya visiwa vya Zanzibar.

Pia kwa mujibu wa Takwimu inasmekana kuwa zaidi ya Tani elfu Ishirini na Mbili(22,000) uweza kupingizwa ikiwa Zanzibar kuonekana kuwa ni kituo cha kupitishia madawa kutoka Afghanistan na Tanzania imekadriwa kuwa na zaidi wa waathirika 250,000 alimaarufu kama mateja na kama ulinzi hutadumisha idadi ya waathirika inaweza kuongzeka zaidi na kuathiri uchumi wa Taifa na nguvu kazi ya Taifa kushuka zaidi.

TAZAMA MAKALA HII YA MADAWA YA KULEVYA.


Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa