Mwanzo » » SOPRANO: WASANII TUFATE TAMADUNI ZETU NA TUACHANE NA MAMBO YA KUIGA.

SOPRANO: WASANII TUFATE TAMADUNI ZETU NA TUACHANE NA MAMBO YA KUIGA.

Imewekwa ma Unknown siku Saturday 22 February 2014 | 12:22

SOPRANO
Mkali wa Sauti ambaye alisha Hit na ngoma ambayo ilizua mambo kati yake na Q Chillah katika ngoma ya ''tutaonana wabaya'' ya Q Chillah na ''Tushaonana wabaya'' ya Soprano na baadae ukweli ukajulikana kuwa wasanii hawa mbli na weote kuja na idea hiyo lakini Q Chllah hakuwa amtenda haki.

Soprano amewahasa wasanii wanaochipukia na wale waliomo katika game kuwa ni vyema wasanii wakashika utamaduni kuliko kuutupa na mwisho kuanza kuiga iga mambo ambayo wanakimbilia kuyonesha  katika video zao jamabo ambalo linaweza kuwaingiza katika hasara kubwa katika muziki wao.

Ameyasema hayo alipokuwa akiongea na mwanhabari wetu kuhusu yeye anasemaje kuhusiana na jambo la TCRA kufungia video za wasanii kwa sababu za kukiuka maadili y kitanzania na kuonesha mambo yaliyovuka mipaka na yeye kusema kuwa hiyo ni watu waliowengi kufata mambo ya kuiga na hasa wasanii wanachoishia ni kuonesha mamba hayo y kuiga katika video zao.

MZIGO WA SOPRANO SOKONI

Soprano kwa sasa yuko katika machaka mchaka wa kuachia mizigo yake kama ngoma mpya inayokweda kwa jina ''SIELEWI NAONA DOUBLE DOUBLE'' ambapo ujio huo wa ngoma hiyo ni muambatano wa T-Shirt na vest zenye logo ya ngoma yake mpya ijayo na kwasasa unapatikana Kiwalani jijini Dar Es Salaam ila tu baadae utaweza kuupata katika maeneo tofauti atakayowatangazia wadau.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa