Mwanzo » » WEMA SEPETU: HUYU NDIYE MWANAUME NINAYE MTAKA.

WEMA SEPETU: HUYU NDIYE MWANAUME NINAYE MTAKA.

Imewekwa ma Unknown siku Friday 28 February 2014 | 11:31

Wema Sepetu
Wema Abraham Sepetu alimaarufu kama Wema Sepetu amefunguka  vigezo vya mwanume anyempenda na sifa kuu ya mwanume ni rangi nyeusi ya ngozi.

Wema Sepetu aleyasema hayo wakati akihojiwa katika kipindi cha leo tena cha Clouds Fm alipoulizwa angependa kuolewa lini na mwanaume wa aina gani ingawa katika majibu yale hakueleza lini yuko tayari kuolewa kakuwa alidai mapenzi hayana taarifa bali unyesha kama mvua baada ya dalili za wapenzi kuingiana moyoni..


Akifafanua alisema kuwa katika kuishi kwake hajawahi kuwa na mwanaume mweupe na hapendi mwanaume mweusi na mpaka sasa hapendi kuolewa na mwaume mweupe.


Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa