Mwanzo » » BAADA YA NDOA KANYE WEST ANAANDAA ZAWADI NONO KWA MKEWE KIM KADARSHIAN.

BAADA YA NDOA KANYE WEST ANAANDAA ZAWADI NONO KWA MKEWE KIM KADARSHIAN.

Imewekwa ma Click BongoTz siku Tuesday 25 March 2014 | 10:27

Rapper Kanye West anaendelea kufikiria jinsi ya kuwa mwanaume aliyempa zawadi ya pekee Kim Kardashian baada ya kufunga ndoa.
Chanzo kimeliambia Daily Star kuwa rapper huyo ambaye anamiliki migahawa kadhaa Chicago kupitia kampuni yake ya KW Foods LLC, amepanga kumnunulia Kim Kardashian migahawa 10 yenye hadhi za kimataifa ya kuuza vyakula kama vile hamburger.

Kwa mujibu wa chanzo hicho, Kanye amepanga kumnunulia migahawa hiyo kutoka kwenye kampuni ya kimataifa ya Burger King Worldwide Inc na itakuwa katika bara la ulaya katika nchi kadhaa ikiwemo Uingereza, ufaransa na Italia na hivyo kumfanya awe mfanyabiashara wa kimataifa.
Kanye West na Kim Kardashian wanatarajia kufunga ndoa May 24, mwaka huu jijini Paris, Ufaransa.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa