Mwanzo » » BREAKING NEWS: MAJAMBAZI WAKAMTWA JIJINI DAR ES SALAAM KABLA YA KUFANYA UHARIFU.

BREAKING NEWS: MAJAMBAZI WAKAMTWA JIJINI DAR ES SALAAM KABLA YA KUFANYA UHARIFU.

Imewekwa ma Unknown siku Wednesday 12 March 2014 | 16:09

Watu wawili walishukiwa kupanga kufanya uharifu ambao walikuwa katika piki piki iliyotambulika kwa number za usajili T 225 CQC  aina ya Kapor  ambapo mpaka kukamatwa kwao wakiwa katika njia ya kutekeleza tukio la kiharifu wamekutwa na silaha eneo la kituo cha mafuta eneo la Kongwe-Mbagala jijini Dar es Salaam.


Kupitia mtego waliotega maasikari 10 waliokuwa wamevalia kiraia eneo hilo walifanikisha kuwatia mbaloni wakiwa na usafiri wa Land Cruiser nambari za usajili T 148 AEN na T 848 AGF.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa