Mwanzo » » DIAMOND PLATNUMZ ANAPANDA THAMANI KILA KUNAPOKUCHA,HABARIKA NA HII.

DIAMOND PLATNUMZ ANAPANDA THAMANI KILA KUNAPOKUCHA,HABARIKA NA HII.

Imewekwa ma Unknown siku Monday 24 March 2014 | 00:40


Msanii wa muziki wa kizazi kipya ''Bongo Fleva'' Nasib Abdul ''Diamond Platnumz'' anazidi kuchanja mbuga tangu alipopiga hatua yake kubwa kimuziki na wimbo wake wa ''My Number One'' chini ya utayarishaji wa Producer Sheddy Clever ngoma ambayo katika uaandaa imetajwa kuwa ni video ya kwanza Tanzania kugharimu kiasi kikubwa cha pesa(45Mil. Tshs) hata kujipatia collabo la Remix ya wimbo huo na mkali kutoka Nigeria Davido sasa nyota imewaka Afrika ikiwa ni siku kadhaa tu kwa taarifa za kuwa ngoma ya My number one mbali na kuchezwa katika vituo tofauti vya kimataifa na kushika nafasi ya kwanza Trace Tv mfululizo kwa week kadhaa sasa Diamond Pltnumz siku zi nyungi ataianza safari Nigeria mpaka Ghana kwa ajili ya kushoot Video ambayo mpaka sasa Diamona hajataka kuweka wazi na kuyafanya macollabo kadhaa ambayo amaombwa na wasanii tofauti waliopata kusikia ngoma zake na kugundua uwezo wake.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa