Mwanzo » » H-BABA AIBIWA NA NGOMA ZAKE KUVUJISHWA.

H-BABA AIBIWA NA NGOMA ZAKE KUVUJISHWA.

Imewekwa ma Unknown siku Thursday 20 March 2014 | 20:37

H-BABA

Msanii H-Baba aingia katika wimbi la wasanii wanaovijishiwa nyimbo zao na hii kwa upande wake ni baada ya kuibiwa na watu wasiojulikana ambapo walivunja kioo kidogo cha agri lake na kuiba vitu vilivyokuwemo ikiwemo flash Disc aliyokuwa na kazi kadhaa ikiwemo ngoma mpya kadhaa na hii ambayo imeshaa nza kusambazwa mitandoni inayojulikana kama ''TUBEBANE''.


Taarifa kupitia ukurasa wa mitandao ya kijamii H-Baba aliandikia kuwa walioimba vitu vyake na kuanza kusambaza nyimbo zake waache ba kama watashindwa kufanya hivyo basi wahariharibu Flash kuliko kuendelea kuvujisha kazi zake ambazo hajapanga kuziachia.

Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa