Mwanzo » » HAYA NI MANENO YA UTATA ALIYOANDIKA RAPPER MALLE MARTXIST KUHUSU BASATA KUTANGAZA MAJINA YA WASHIRIKI WA TUZO ZA KILI MUSIC AWARDS.

HAYA NI MANENO YA UTATA ALIYOANDIKA RAPPER MALLE MARTXIST KUHUSU BASATA KUTANGAZA MAJINA YA WASHIRIKI WA TUZO ZA KILI MUSIC AWARDS.

Imewekwa ma Click BongoTz siku Tuesday 25 March 2014 | 20:26

Malle
Rapper mwenye mitazamo chanya katika game la muziki Malle Martxist amepost maneno yanayooacha njia panda kuhusu Tuzo na majina ya waliotajwa kushiriki tuzo hizo ambapo kwa haraka hara imeonekana hakuna wasanii wanaiwakirisha Tamadunimuzik mali n akuonekana kufanya vizuri katika mitandao ya kijamii.

Kule nchini Kenya kupitia ,tandao wa Mdundo.com  wapo wakali kama Nikki Mbishi,Songa na wengine wengi wanozidi kushika namba nzuri katika Downloads jambo linaloweka wazi kuwa ni wakali na wanastahiki kuwa katika moja ya vinyanganyiro vya tuzo za hip hop.


HIKI NDICHO ALICHOKIPOST.






Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa