Safari ya Diamond kuelekea nchini Nigeria ni pamoja na kushoot video ya ngoma yake mpya ambayo imeonekana kabisa amefanya na wasanii wa huko ikiwemo pia na kukamilisha zile collabo alizofanya na wasanii wa Nigeria na Ghana.
Leo mapema Diamond Pltnumz amesafiri kielekea nchi hizo na akiwa na manager wake Babu Tale ambaye pia ni manager wa kundi la Tip Top Connection na mara hii safari iko tofauti maana imekuwa ikionekana Dimond usafiri na kipenzi chake lakini mara hii Wema Sepetu amebaki nchini na kumuacha Diamond asafiri .
Diamon amepost picha leo kupitia ukurasa wake wa Instagram akiwa uwanja wa ndege wa Kimataifa wa JNIA tayari kwa safari.
Post a Comment