Mwanzo » » MUSTAFA AOMBA MASAMAHA WANAWAKE WA KENYA BAADA YA NYOTA NDOGO KUANDAMANA NA WANAWAKE WENZAKE.

MUSTAFA AOMBA MASAMAHA WANAWAKE WA KENYA BAADA YA NYOTA NDOGO KUANDAMANA NA WANAWAKE WENZAKE.

Imewekwa ma Click BongoTz siku Monday 24 March 2014 | 23:15

NYOTA NDOGO
Suala la msanii wa Kenya, Colonel Mustapha kupost picha akiwa na Huddah Monroe zilizoweka alama nyingi za kuuliza kwa wana maadili limeendelea kuwa mwimba kwake.
Siku kadhaa baada ya Huddah kudai kuwa hawana uhusiano wowote na Mutapha zaidi ya kupiga picha ili kumpa kick msanii huyo, wanawake wa Pwani wakiongozwa na mwimbaji wa kike wa Kenya Nyota Ndogo waliandamana wakilaani vitendo vya Colonel kwa madai kuwa amewadhalilisha wanawake.
Wanawake hao walikuwa na mabango yaliyoondikwa “Colonel Mustapha heshimu wanawake, Mustapha Komesha dhuluma kupitia mtandao heshimu muziki, Wanawake ni dada zako na mama zako,” na mengine.




CREDITY: TIMESFM SITE.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa