Mwanzo » » (VIDEO) TAARIFA KAMILI YA KUPOTEA KWA AIR MALAYSIA MPAKA KUANGUKA BAHARI NA ABIRIA KUPOTEZA MAISHA.

(VIDEO) TAARIFA KAMILI YA KUPOTEA KWA AIR MALAYSIA MPAKA KUANGUKA BAHARI NA ABIRIA KUPOTEZA MAISHA.

Imewekwa ma Click BongoTz siku Tuesday 25 March 2014 | 11:02

Shirika la ndege la Malaysia Airlines limesema sasa linaweza kusema (beyond any reasonable doubt) kuwa ndege ya MH370 imepotea na hakuna manusura.



Waziri Mkuu wa Malaysia, Najib Razak amesema wachunguzi wa Uingereza wamedai kuwa eneo la mwisho ndege hiyo ilikuwa ni katikati ya bahari ya hindi magharibi mwa Perth.





Tangazo hilo limetolewa kwa ujumbe mfupi na imetumwa kwa familia ya abiria waliokuwa kwenye ndege hiyo. Ndege hiyo iliyokuwa na watu 239 ilipotea March 8 na ilikuwa ikitokea Kuala Lumpur.

Shughuli za kutafuta mabaki ya ndege hiyo kwenye bahari ya Hindi imeingia siku ya tano.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa