Kwasasa team ya weusi iko nchini Kenya ambapo ni katika kujipanua na kukuza muziki wao kimataifa ikiwa kwa mtazamo na hatua za haraka haraka wameonekana kujipanga vizuri kwa mwaka huu wa 2014 na kupitia video yao ya ''NJE YA BOX'' wameweza kupata kuchezwa katika vituo vikubwa vya Tv kikiwemo kituo cha Channel O zaidi kinachoendelea huko nchini Kenya ni maandalizi ya ngoma ya ''Gere'' ikiwa kama Remix na walioshirikishwa katika remix hiyo ni wkali wa hip hop kwa nchini Kenya ''Collo'' na ''Rabbit Kaka Sungura'' na zidi ya mkwaju huo ambao unatazamiwa kuwa mkali pia kuna mkakati wa kufanya kazi ya kushirikiana na mwanadada ''NAZIZI'' na mpaka sasa mambo yannelekea kuiva hivyo wadau wa muziki wa wasanii wa Weusi yaani G-Nako,Nikki wa Pili,Bonta na Joh Makini soon watashuka na mikwaju ya Dunia.
Playtech dan Masa Depan Industri Perjudian Online
-
Industri perjudian online telah mengalami pertumbuhan yang pesat selama
beberapa dekade terakhir, didorong oleh inovasi teknologi dan peningkatan
aksesib...
Post a Comment