Mwanzo » » HUKO BRAZIL TIMU YA WATOTO WA MITAANI YA TANZANIA YATWAA KOMBE LA DUNIA.

HUKO BRAZIL TIMU YA WATOTO WA MITAANI YA TANZANIA YATWAA KOMBE LA DUNIA.

Imewekwa ma Unknown siku Monday 7 April 2014 | 21:47

Timu ya mpira wa miguu ya Watoto wa Mtaani ya Tanzania imetwaa Kombe la Dunia kwa watoto wa mtaani baada ya kuilaza timu ya Burundi bao 3-1 kwenye fainali iliyopigwa Rio de Janeiro nchini Brazil jana. Katika mechi za mwanzo, Tanzania ilitoka sare ya mabao 2-2 na Burundi, ikaitandika Argentina mabao 3-0, ikailaza Nicaragua mabao 
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa