Usiku wa kilele cha tuzo za Kilimanjaro Music Awards 2014 unatarajia kufanyika Jumamosi Mei 3.
Kwa kutambua kwamba sio wote watakaoweza kufuatilia kupitia Televisheni kutokana na baadhi
kuwa nje ya Tanzania, tukio hilo linatarajiwa kuonyeshwa moja kwa moja mtandaoni ambapo
watazamaji wataweza kufuatilia kupitia simu au kompyuta zao katika www.hassbabytz.com .
Usiku wa tuzo unatarajiwa kuanza saa moja jioni kwa Red Carpet ambapo watangazaji Jokate
Mwegelo, Millard Ayo na Salma Msangi watawahoji mastaa mbalimbali watakaokuwa wakiwasili
ukumbini na baadaye kuungana na Mtangazaji wa EATV Sam Misago katika Social Media
Lounge kuelezea yanayojiri katika tuzo na kuhojiana na washindi ...
Kwa kutambua kwamba sio wote watakaoweza kufuatilia kupitia Televisheni kutokana na baadhi
kuwa nje ya Tanzania, tukio hilo linatarajiwa kuonyeshwa moja kwa moja mtandaoni ambapo
watazamaji wataweza kufuatilia kupitia simu au kompyuta zao katika www.hassbabytz.com .
Usiku wa tuzo unatarajiwa kuanza saa moja jioni kwa Red Carpet ambapo watangazaji Jokate
Mwegelo, Millard Ayo na Salma Msangi watawahoji mastaa mbalimbali watakaokuwa wakiwasili
ukumbini na baadaye kuungana na Mtangazaji wa EATV Sam Misago katika Social Media
Lounge kuelezea yanayojiri katika tuzo na kuhojiana na washindi ...
Post a Comment