Mwanzo » » D KNOB AWEKEZA ONLINE KIBIASHARA

D KNOB AWEKEZA ONLINE KIBIASHARA

Imewekwa ma Unknown siku Monday 21 October 2013 | 08:58

D KNOB

SURA YA MTANDAO
SURA YA MTANDAO

Rapper ambaye amawika sana na ngoma kadhaa ikiwemo Njoo Tucheze miaka ya 2005-2006 na kusifika kwa matumizizi yake mazuri ya sauti kama rapper wa sauti ya kipekee wakujulikana kama D KNOB afungua mtandao wa kibiashara online ambao unajulikana kama www.mitaanimostwanted.co.tz ambao utakuwa kisimamia kazi za sanaa na kuandaa project kadhaa kuakikisha pesa kwa mhusika inaingia na cha zaidi ushirikiano upo kati ya Marcochali FOUNDATION hivi kwa vyovyote kama utaona kuna uwezekano wa we kama shabiki kusupport basi usisite kufanya hivyo.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa