Mwanzo » » MR. BLUE: HEMED PHD AMESHINDWA KUNISUBIRIA LAKINI SIJAKATAA

MR. BLUE: HEMED PHD AMESHINDWA KUNISUBIRIA LAKINI SIJAKATAA

Imewekwa ma Unknown siku Tuesday 22 October 2013 | 02:34

HEMED PHD

HEMED PHD NA MR BLUE

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva amefanya Byser Bablone Mr Blue kusema kuwa yeye hakukata kutoa ushirikiano bali tu ni ubusy tu wa kazi amabazo zimekuwa zikimlazimu kumpeleka nje ya nchi jambo lililompelekea kukosa nafasi ya haraka kushoot vipande vya wimbo wa Hemed PHD ft Mr Blue-The Rest Of My Life Jambo ambalo lilipelekea Hemed kushoot bila Mr Blue na Hemed PHD katika anaonekana katika verses za Mr Blue akiimba badala yake na Blue ameahaidi kama Hemed atakauwa na Second Version atakuwa tayari kushiriki lakini ukweli ni kwamba hakukataa.

WATCH HERE PHD-REST OF MY LIFE

Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa