Mwanzo » » HAYA NDIO MATUNDA YA MUZIKI WA MSANII RICH MAVOKO

HAYA NDIO MATUNDA YA MUZIKI WA MSANII RICH MAVOKO

Imewekwa ma Unknown siku Wednesday 16 October 2013 | 08:01

RICH MAVOKO






JUMBA LINALOJENGWA LA MSANII RICH MAVOKO

GARI ANALOMILIKI RICH MAVOKO




Mwanzoni kipindi muziki wa kizazi kipya ukichipuka waliowengi hawakutegemea kama inaweza kuwa ajira kubwa ka viana na hata watu wazima kama ilivyo sasa,kilichokuwa katika akili za waliowengi ilikuwa kuwa muziki ni uhuni tu na waliobaki walisema muziki ni kazi ya kujifurahisha tu wasijue kuwa kuna kiasi kikubwa cha mapato endapo ushirikiano utapata nafasi na bidii ikichukua mkondo katika utendaji kuanzia kwa producer,masnii,na shabiki hasa pale mwenye kipaji akikitumia vizuri ipasavyo.

Na kama unavyoweza kuona katika picha hayo ni matunda ya muziki huo uliokuwa ukionekana kama uhuni na wasani wengi tu wa kutanzania wamezidi kulitangaza taifa la Taznania kupitia muziki huo huo na miongoni mwa wasanii wenye mafanikio makubwa katika muziki huu wa kizazi kipya alimaarufu kama Bongo Fleva ni Lady Jay Dee,Pia huyu Rich Mavoko,Madee,Mr Blue,Dully Sykes,Top In Dar(T.I.D),Diamond Platnumz,Barnaba na Wengine wengi.

Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa