Mwanzo » » JINA LA MOVIE NI 'YAHAYA' NA STARING NI TAPELI DUDE SHABIKI USIKOSE

JINA LA MOVIE NI 'YAHAYA' NA STARING NI TAPELI DUDE SHABIKI USIKOSE

Imewekwa ma Unknown siku Friday 25 October 2013 | 11:30

LADY JAY DEE
Baada ya kumake more fans waendelee kumuamini kama msanii mkali wa kike toka Bongo huyu ni wakuitwa JUDITH WAMBURA a.k.a LADY JAY DEE na wimbo wake unaozungumzia maisha ya wale wajanja wajanja town wasio na muelekeo yaani kwa ufupi maisha yao ni maigizo tu lakini nyuma ya pazia hali tete kwa kuwapa jina la 'YAHAYA' katika wimbo ambao ulikuwa chini ya utayarishaji wa MAN WALTER sasa ameamua kuleta uhalisia wa 'YAHAYA' katika movie ambapo staring mwenyewe ni KULWA KIKUMBA a.k.a DUDE hivyo wadau kaa mkao wa kuisubiria bongela movie kwa jina 'YAHAYA'.

KULWA KIKUMBA

Akielezea hatua ya kuelekea kufanikisha muvie hii yenye mtazamo wa kuwa kali katika tasnia ya movie bongo KULWA KIKUMBA a.k.a DUDE alisema kuwa mwanzo walifikiri iwe idea ya burudani ya muzii tu lakini mwisho wakapata idea ya kuwa wapo wapenzi hivyo ili ujumbe ufike zaidi kwa wapenzi wa burudani sekta zote wakaamua waandae muvie na hii ni kutaka tu ujumbe ufike.

Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa