Mwanzo » » SAPPY: NDOTO YANGU SIO KOLLABLO NA MASTAR

SAPPY: NDOTO YANGU SIO KOLLABLO NA MASTAR

Imewekwa ma Unknown siku Friday 25 October 2013 | 13:39

SAPPY

Mtayarishaji toka Tanzania anayefanya kazi zake za utayarishaji nchini Kenya ameyasema hayo mara baada ya kuonekana akifanya kazi kama msanii na kusema kuwa kufanya kwake muziki ni kwakuwa naweza kufanya muziki nasio kwamba yeye yuko tayari kuitwa msanii mkali bali yeye yuko tayari kuitwa mtayarishi mkali.
SAPPY
Sappy amekuwa ni mtayrishaji simple hasiye na mambo mengi y kustahajabisha katika game na ameongeza kuwa kwa sasa yeye anaweza kufanya kazi nchi yoyote na msanii yeyote na maana ya yeye kuema vile ni kwasababu muziki ni hisia na ujuzi kupitia masikio ya msanii,mtayarishaji mpaka kwa shabiki hivyo kwa maana hiyo fupi ya muziki yeye haoni sababu ya kushindwa mtayarishaji mwenye uwezo kama yeye kuweza kufanya kazi nchi yoyote.

Akitoa maelezo kuhusu ugumu wa yeye kukutana na kufanya kazi na wasanii wa kimataufa alijibu kuwa kwa upande wake hajaona ugumu wowote wa kufanya kazi na wasanii wakubwa kwani mbali kwa yeye kufanya kazi na PREZZO bila usumbufu wa haina yoyote lakini pia DEMARCO hakumsumbua katika REMIX ya wimbo wake RED SAN (BADDER THAN MOST).
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa