Mwanzo » » VIJANA TUSIUTUMIE UJANA TUTUMIE BUSARA ZAIDI

VIJANA TUSIUTUMIE UJANA TUTUMIE BUSARA ZAIDI

Imewekwa ma Unknown siku Friday 18 October 2013 | 16:33

KIJANA ALIYEPATWA NA TUKIO LA KUUTUMIA UJANA NA AKAKUMBWA NA GONJWA
Katika maisha hatua ambayo mwandamu uifurahia sana hasa akiwa katika maisha ya kuweza kutimiza mahitaji yake kwa kiasi kikubwa na ukifatilia zaidi katika hatua hiyo hiyo ya ujana ni hatua ambayo walio wengi ukufuru na hata kupotza imani na mungu na kujiunga katika magenge ambayo kwa hali ya kawaida tuwaweza sema sio mfano wa kugwa.

Hapo katika picha ni mmoja kati ya vijana ambao katika umri mdogo tu amejikuta kaijutia maisha na kuisha maisha ya hofu na afya iliyzolota kabisa kiasi ambacho mi maisha ya kukatisha tamaa na ni maisha ya wanadamu wasio na moyo wa kuvumilia na utu ndani yake wanaweza kumtenga jamabo ambalo kiakili umiathiri sana mwandamu kwani mara zote mwadamu huitaji upendo na faraja wakati wote wa maisha yake.

Ushauri wa kaina hata lika zote za umri kufuata ni kuwa makini na hatua hii ya ukuaji ambayo inafahamika kama ujana na kujichunga zaidi na maradhi pamoja na matumizi ya madawa kwani mbali na katika kuufahia ujana hasa vijana walio wengi mabali na matumzi kaimaisha kulalia katika anasa wapo wanajikiata katiaka wimbi baya linaloweza kupoteza maisha kabisa ili kama mungu atakujali maisha marefu basi uweze kuyafaidi kwani hali tu inayoweza kuepukika.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa